MANILA

Saturday

YANGA VS BLACK LEOPARD 3 KWA 2

Yanga wakiwa wenyeji kwenye uwanja wa Taifa wameweza kuondoka na ushindi kutoka UTURUKI na kujivunia maandalizi yao… mabao mazuri yaliyiowekwa wavuni na Jery Tegete (2) na frank Domayo (lampard) yalitosha kabisa kuwapa tarrifa wapinzani wao Simba kwamba UTURUKI hawakwenda kushangaa hotel za kifahali,,,,,
KILA LA KHERI YANGA FC

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.