MANILA

Sunday

WATANZANIA WAMEFAULI MTIHANI WA FINA DARAJA LA TATU

Watanzania 35 tumefuzu ukocha FINA..
mtihani huo ulifanyika katika kozi iliyofanyika tarehe 15 hadi 17 desemba 2012 katika chuo kikuu cha DAR ES SALAAM.... maarifa tuliyoyapata tutayatumia vyema katika kuendeleza taifa letu kwenye mchezo wa kuogerea.....
PAMOJA TUTAJENGA

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.